Watu wawili wakazi wa Manispaa ya Musoma mkoani Mara wamenusurika kuawa na wananchi wenye hasira kali kutoka kwa vijana wenye hasira baada ya kutuhumiwa kuiba shillingi Millioni moja na laki nane za mkazi wa wilayani Rorya.
<iframe width="560" height="315" src="https://www.youtube.com/embed/dkBf8vy951s" frameborder="0" allow="accelerometer; autoplay; clipboard-write; encrypted-media; gyroscope; picture-in-picture" allowfullscreen></iframe>