Star Tv


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli ameiomba serikali ya China kuisamehe Tanzania madeni ambayo Tanzania ilikuwa imekopa kutoka taifa hilo.

Moja ya deni ni Milioni 15.7 za kitanzania ambazo zilitumika wakati reli ya Tazara ikiwa inajengwa.

Deni lingine ni la fedha zilizotolewa wakati Tanzania inajenga nyumba za askari ambapo tayari Tanzania imerudisha zaidi ya nusu ya deni hilo na lingine ni ujenzi wa kiwanda cha urafiki kinadaiwa dola 15.

Rais Magufuli amesema, ameiomba China kuifutia Tanzania madeni kwa sababu China ni nchi rafiki kwa Tanzania na ni nchi tajiri.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.