Star Tv

Wawakilishi wa mataifa duniani wanaokutana mjini Glasgow kwa mkutano wa kimataifa wa mabadiliko ya tabia ya nchi wa COP26 wametumia siku ya Jumamosi kupigania uwezekano wa kufikia mkataba.

Kwa karibu siku nzima wajumbe hao wamekuwa wakijadili mapendekezo mapya yanayonuwia kupatikana kwa mkataba utakaotanua juhudi za ulimwengu katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.

Maafisa wa Uingereza wanaoongoza majadiliano mjini Glasgow, Scotland walitoa rasimu mpya makubaliano baada ya juhudi chungunzima za kidiplomasia zilizoendelea hadi siku ya Ijumaa ambayo ndiyo ilikuwa ya mwisho ili kufikiwa makubaliano.

Baadhi ya makundi ya wanaharakati wa mazingira yamesema mapendekezo yaliyo mezani hivi sasa kwa wajumbe kuamua hayana uzito wa kutosha.

#ChanzoDW

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.