Star Tv

New Zealand imeripoti kile inachoamini kuwa kifo cha kwanza kinachohusisha chanjo ya corona aina ya Pfizer.

Bodi huru inayoangazia usalama wa chanjo nchini humo imesema kifo cha mwanamke huyo ''pengine'' ni kutokana na maumivu ya misuli ya moyo.

Pia imesema kulikuwa na changamoto nyingine ambazo kuna uwezekano zilisukuma athari za chanjo kutokea.

Waangalizi wa Ulaya wamesema kuwa ugonjwa huo ni ''nadra'' na kuwa faia ya chanjo ni kubwa zaidi kuliko athari maya za chanjo.

Hatahivyo, Bodi inayoshughulikia usalama wa chanjo ya Covid-19 imesema kuwa maumivu ya misuli ya moyo ''pengine yalitokana na chanjo".

"Hii ni kesi ya kwanza huko New Zealand ambapo kifo kimehusishwa na chanjo ya Pfizer COVID-19". Wakati Kituo cha Ufuatiliaji wa athari mbaya kimepokea ripoti nyingine za vifo kwa mtu aliyepewa chanjo ya hivi karibuni, lakini hakuna taarifa ya kifo inayohushwa na chanjo.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.