Star Tv

Ndege ya usafiri ya jeshi la Ukraine iliyokuwa na abiria watu 28 ilianguka Ijumaa jioni kaskazini mashariki mwa Ukraine.

Ndege hiyo ilikuwa imebeba marubani wa wanafunzi wa chuo cha jeshi la wanaanga, Wizara ya Mambo ya Ndani imesema, na Mamlaka nchini humo imesema watu 22 wamefariki dunia.

Watu wawili walijeruhiwa na kupelekwa hospitalini wakiwa katika hali mbaya, Wizara hiyo imeongeza.

"Miili ya watu 22 imepatikana, watu wawili wamejeruhiwa na zoezi la kutafuta watu wengine wanne linaendelea," mamlaka ya hali za dharura imebaini.

Ndege hiyo ilikuwa katika zoezi la mafunzo, rais Volodimir Zelenski amesema.

Chanzo: rfi Swahili.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.