Mwanasoka wa zamani wa Klabu za Ac Milan, Monaco, PSG, Manchester City na mshindi wa Tuzo ya Ballon d’Or 1995 George Weah amechaguliwa kuwa Rais wa Liberia mara baada ya kushinda majimbo 12 kati ya 15 kwenye nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
Kwa kupitia ukurasa wake wa Twitter amewashukuru watu wote waliompigia kura na wale ambao hawajampigia kura.
Weah amemshinda aliyekuwa Makamu wa Rais, Joseph Boakai mwenye umri wa miaka 75, ambaye amekuwa Makamu wa Rais kwa miaka 12, amepata kura katika majimbo mawaili tu.
Add a commentMajaji wa Ufaransa wamemaliza upelelezi juu ya shambulio la kombora ambalo lilisababisha kuanza kwa mauaji ya kimbari nchini Rwanda mwaka 1994.
Add a commentSerikali ya Zimbabwe imetangaza siku kuu mpya ya kukumbuka mchango wa Robert Mugabe ambaye aliondolewa madarakani wiki iliyopita.
Add a commentCyril Ramaphosa amechaguliwa kuwa kiongozi mpya wa chama tawala cha ANC nchini Afrika Kusini .
Add a commentNi siri iliyofichuka nchini Zimbabwe kwa miaka mingi kwamba Emmerson Mnangagwa alitaka kumrithi Robert Mugabe kama rais.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.