Nchini Mali, Waziri wa zamani wa Ulinzi Bah N'Daw, ataapishwa leo Ijumaa jijini Bamako kuwa rais wa mpito wa nchi hiyo kwa muda wa miezi 18 ijayo, baada ya kuteuliwa na viongozi wa jeshi mapema wiki hii.
Add a commentKatika kipindi cha miezi sita, katika mkoa wa Ituri, zaidi ya watu 1,800 wameuawa huku 1,600,000 wameyatoroka makazi yao, shule 300 zimeharibiwa katika mkoa wa Ituri, kulingana na Radio ya Umoja wa Mataifa nchini DRC, OKAPI, ikimnukuu mbunge Jackson Ausse.
Add a commentRais wa zamani wa Mali Moussa Traoré amefariki dunia leo Jumanne Septemba 15,2020.
Add a commentWaziri Mkuu wa Libya Fayez el-Sarraj ametangaza kuachia wadhfa wake wa uwaziri mkuu mwishoni mwa mwezi Oktoba 2020.
Add a comment
Takriban watu 50 wanadaiwa kufariki dunia baada ya kuangukiwa na kifusi cha udongo katika mgodi wa dhahabu karibu na eneo la Kamituga mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, shirika moja lisilo la kiserikali katika eneo hilo limesema.
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.