Kundi la kigaidi la Boko Haram limesema lilihusika na utekaji nyara wa mamia ya wavulana wa shule katika jimbo la Kaskazini-Magharibi la Katsina State nchini Nigeria.
Add a commentSpika wa bunge la DRC Jeanine Mabunda ameondolewa katika nafasi yake baada ya wabunge kupiga kura ya maoni dhidi yake iliyowasilishwa bungeni na wabunge wa Upinzani.
Add a commentMakabiliano yametokea baada ya Rais Tschisekedi kutangaza kuwa anataka kufanya mageuzi.
Add a commentZaidi ya wabunge 200 kati ya wabunge 500 wameanza kikao cha kupiga kura ya kutaka kumuondoa madarakani Spika wa bunge Jeanine Mabunda kutoka chama cha Joseph kabila.
Add a commentTembo 170 watapigwa mnada nchini Namibia kwa kile kilichobainishwa kuwa ni adha ya kuongezeka kwa ukame huku kukishuhudiwa ongezeko kubwa la tembo nchini humo.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.