Star Tv

Umoja wa Mataifa na serikali katika Jamhuri ya Afrika ya kati (CAR) wamesema waasi nchini humo wamefanya mashambulio mawili karibu na mji mkuu wa Bangui.

Taarifa kutoka nchini humo zinasema shambulio moja lililenga kituo cha ukaguzi kinachodhibitiwa na wanajeshi wa serikali na mamluki wa Urusi.

Mawaziri wanasema kuwa washambuliaji walirudishwa nyuma, lakini msemaji wa Umoja wa Mataifa ameelezea mapigano kama yanayoendea.

Ubalozi wa Marekani unasema kuwa umepokea taarifa za makabiliano katika mji wa Bungui na katika eneo la Bimbo kuelekea magharibi mwake

Vikosi vya waasi, vilivyopinga kuchaguliwa tena kwa Faustin-Archange Touadéra na vilimuunga mkono rais wa zamani François Bozizé,wamekuwa wakisonga mbele kuelekea katika mji mkuu.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.