Star Tv

Wananchi wa Kenya wanaendelea  kutoa heshima zao za mwisho kwa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Daniel  Arap Moi, aliyefariki dunia wiki iliyopita ambapo leo ni siku ya tatu na ya mwisho tangu wananchi wa Kenya waanze kutoa heshima kwa kiongozi wao.

Add a comment

Wanafunzi saba wamekufa na wengine 57 wamejeruhiwa baada ya jengo la darasa moja kuanguka katika shule moja ya msingi katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi.

Add a comment

Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, limepitisha azimio la kutaka kupitishwa kwa sheria ya kupiga marufuku utengenezaji na uingizwaji wa sabuni na vipodozi vyenye viambata vya sumu
vinavyodaiwa kuathiri afya za watumiaji hususani wanawake.

Add a comment

Uganda imeachana na mradi wa kujenga bwawa la kufua umeme katika maporomoko ya maji ya Marchison.

Add a comment

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb.), akila kiapo cha utii mbele ya Bunge la Afrika Mashariki  kama Waziri anayeshughulikia masuala ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kutoka Tanzania. Tukio hilo ambalo  limefanyika kwenye Makao Makuu  ya Bunge la Afrika Mashariki jijiji Arusha  limeshuhudiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro na Spika wa Bunge hilo, Mhe. Martin Ngoga.

Add a comment

Korti ya Mazingira nchini Kenya imezuia ujenzi wa mtambo wa kuzalisha umeme kwa kutumia makaa ya mawe, ambao ulitarajiwa kujengwa katika kisiwa cha Lamu. Mradi huo wenye gharama ya dola bilioni mbili umepingwa vikali na wanaharakati wa ulinzi wa mazingira, na wenyeji wa kisiwa hicho. Jaji Mohammed Balala ameubatilisha uamuzi wa awali ulioridhia kibali cha ujenzi kwa mwekezaji, Amu Power.

Add a comment

Rwanda leo inaadhimisha kumbukumbu ya miaka 25 ya mauaji ya Kimbari ambapo watu wapatao 800,000 hasa wa kabila la Watutsi waliuawa. Wajumbe kadhaa wa Kimataifa waliwasili jana Jumamosi katika mji mkuu, Kigali kwa ajili ya kuhudhuria kumbukumbu ya mauaji hayo ya Kimbari.

Add a comment

Watu sita wamefariki dunia na wengine kadhaa hawajulikani walipo, kufuatia mvua kubwa zilizosababisha maporomoko ya udongo katika wilaya ya Bududa mashariki mwa Uganda.

Add a comment

Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) limepitisha azimio la kulitaka Baraza la Mawaziri la jumuiya hiyo, kusimamia kikamilifu utekelezaji wa mkataba wa uanzishwaji Soko la pamoja uliopitishwa kwa pamoja na nchi hizo......

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.