Star Tv

Wizara ya Afya nchini Kenya imetangaza ongezeko la wagonjwa wapya wa corona 28, na wagonjwa hao ni waliopimwa ndani ya saa 24.

Wagonjwa hao wapya walioripotiwa leo Katibu wa Wizara ya Afya Rashid Aman wameifanya idadi ya wagonjwa nchini humo kufikia 700 kutokea wagonjwa 672 ambao walioripotiwa jana Jumapili Mei 10.

Bwana Rashid amesema kwamba kati ya wagonjwa hao wapya 10 wanatokea Mombasa , 9 wanatokea Kajiado na 7 wanatokea Nairobi huku 2 wakitokea Wajir.

Aidha,Wizara hiyo imeripoti uwepo wa kifo cha mgonjwa mmoja na kufanya waliofariki kwa ugonjwa huo mpaka sasa kufikia 23, huku watu 12 wameripotiwa kupona na kufanya idadi ya waliopona kufikia 251.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.