Star Tv

Chama cha wanasheria wa Afrika Mashariki (EALS)  chini ya mkurugenzi Mtendaji Wakili David Sigano kwa kushirikiana na baraza la habari Tanzania (MCT) waandaa mafunzo kwa waandishi wa habari.

Mafunzo haya ambayo yamefanyikia jijini Mwanza tarehe 16/08 ikiwa  mwenyeji wa mafunzo haya ni Klabu ya waandishi wa Habari wa mkoa wa Mwanza (MPC) chini ya Mwenyekiti wake Ndugu Edwin Soko. Mafunzo haya yakiwa na lengo la kuangalia changamoto na mwenendo a habari katika suala la uhuru wa habari, uhuru wa kujieleza, sanjari na uhuru wa vyombo vya habari, hali ya kupata taarifa na kufanya kazi katika ufanisi kwa waandishi wa habari, sambamba na majadiliano juu ya sheria za vyombo vya habari. 

Mafunzo haya juu ya  suala la sheria ikiwa ni mara ya kwanza kwa Chama cha wanasheria wa Afrika Mashariki (EALS)  kutoa mafunzo kama haya kwa waandishi wa kanda ya ziwa.

 

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.