Star Tv

Mwamko mdogo miongoni mwa wanariadha wa Tanzania umewafanya wanariadha wa kenya kutamba katika mashindano ya Ngorongoro marathon. Mashindano ya Ngorongoro marathon ya kilometa 21 yamewakutanisha washiriki zaidi ya Mia tano kutoka mataifa mbalimbali yakiwa na lengo la kutangaza Utalii.

 Waziri wa maliasili na Utalii Hamis Kigwangala aliongoza mashindano hayo amewataka watanzani kushiriki kikaamilifu katika shughuli za uhifadhi.

 Hii ni mara  ya kumi  na mbili kwa michuano hiyo kufanyika hivyo hamasa inahitajika zaidi kwa lengo la kupata vipaji vipya vya medani ya riadha huku  mshindi wa kwanzwa kwa wanawake na wanaume akijinyakulia shilingi milioni moja na mshidi wa pili akipata shilingi laki tano na watatu akiondoka na shilingi laki tatu.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.