Star Tv

Rais Trump ametoa wito kuwa uchaguzi wa Urais utakaofanyika mwezi Novemba mwaka huu uahirishwe kwa madai ya kuongezeka kwa upigaji kura kwa njia ya posta kunaweza kusababisha udanganyifu na matokeo yasiyo sahihi.

Rais Trump amekuwa akipinga upigaji kura kwa njia ya Posta ambao anadai unaweza kusababisha udanganyifu kwenye kura, ambapo kupitia ujumbe wake kwa njia ya Twitter ameandika "Kupiga kura kwa njia ya Posta kutafanya uchaguzi wa Novemba kuwa sio sahihi na wenye udanganyifu mkubwa katika historia ya nchi hiyo na aibu kubwa kwa Marekani".

Aidha, majimbo ya Marekani yanataka upigaji kura kwa njia ya Posta kufanywa kuwa rahisi zaidi kwasababu ya wasiwasi wa kwa matatizo ya kiafya kutokana na janga la corona.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.