Star Tv

Rais Magufuli amemchagua Samia Suluhu Hassan, kuwa mgombea mweza katika Uchaguzi wa Urais wa Tanzania, Oktoba 2020.

Rais Magufuli amechukua hatua hiyo baada ya kuthibitishwa na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM, kuwa mgombea wa Urais wa Tanzania, kwa asilimia 100 leo Jumamosi tarehe 11 Julai 2020.

“Nilipomteua Mama Samia kuwa Makamu wa Rais mwaka 2015 sikujua utendaji kazi wake vizuri lakini ni mchapakazi, anajituma pia ni mzuri, Wasukuma tunapenda weupe, ukiwa na Msaidizi mweupe hata ukiwa na stress zinaisha, nimeamua awe tena Mgombea mwenza wangu"-Rais Magufuli.

Aidha, Rais magufuli amesema amemteua mama Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea mwenza kwakuwa kipindi chote alichofanya naye kazi amejifunza mambo mengi: "nawahikikishia nitakuwa mtetezi mzuri wa Wanawake, Mama Samia nikimtuma popote hakatai kama ilivyo nyie akina Mama mkitumwa hamkatai, nampa tena ugombea mwenza"-Amesema Rais Magufuli

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.