Star Tv

Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma Gilles Muroto amethibitisha kutokea kwa ajali ya gari aina ya Noah ambayo ilikuwa ikitokea Morogoro kwenda Dodoma na kugongana na Lori.

Kamanda Muroto amesema katika ajali hiyo watu watano wamefariki Dunia huku wengine wawili wakijeruhiwa.

Aidha, Kamanda Muroto ametaja chanzo cha ajali hiyo kuwa ni uzembe wa dereva wa Lori ambapo aliingia katika barabara kuu bila kuangalia pande zote za barabara akitokea kituo cha mafuta na kusababisha gari hiyo ndogo aina ya Noah kuingia kwenye uvungu wa Lori na dereva wa Lori ametoroka huku jeshi la polisi linaendelea kumtafuta.

 

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.