Star Tv

Pentagon na jumuiya ya kijasusi ya Marekani wamesema wanafuatilia harakati zozote za silaha za nyuklia nchini Urusi wakati wa mazoezi ambayo maafisa wa Marekani wanasema yanapaswa kufanyika kabla ya mwisho wa mwezi.

Afisa mkuu wa Pentagon aliiambia CNN kwamba matamshi ya nyuklia ya Urusi na uamuzi wa kufanya mazoezi katikati ya vita na Ukraine ni kutowajibika.

Kwa mujibu wa Marekani, mazoezi hayo ya Urusi hufanyika kila mwaka na, huku Baraza la Usalama la Taifa la Marekani nalo limesema vikosi vyake vitaanza mazoezi hayo kivyake ambayo yatajumuisha kurusha makombora ya moja kwa moja na kupelekwa kwa vifaa vya kimkakati.

Kwa upande wake, NATO imebainisha kuwa itaanza Jumatatu hii mazoezi yake ya kila mwaka ya nyuklia, ambayo yatahudhuriwa na nchi 14, pamoja na Marekani.

#ChanzoBBC

Latest News

Dkt. Jafo ofisi yake, imekamilisha taratibu zote za kupata Ithibati ya Kitabu ch...
24 Apr 2023 09:38 - Kisali Shombe

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewasilisha bungeni Hotuba ya Ma [ ... ]

TARI, Ukiruguru kuzindua Kifaa cha kupandia Mbegu cha Rafiki
23 Apr 2023 18:33 - Kisali Shombe

Sekta ya Kilimo ni mhimili wa uchumi wa Tanzania na imekuwa ikichangia Pato la mkulima mmoja mmoja, kaya na Taifa kwa uj [ ... ]

Wanawake kuwa sehemu ya Elimu dhidi ya Itikadi Kali na Ugaidi Afrika.
17 Apr 2023 10:28 - Kisali Shombe

Mnamo Oktoba 14, 2017, Mogadishu, Somalia ilikumbwa na shambulio baya la kigaidi lililoua watu 587 na kujeruhi zaidi ya  [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.