Star Tv

Pentagon na jumuiya ya kijasusi ya Marekani wamesema wanafuatilia harakati zozote za silaha za nyuklia nchini Urusi wakati wa mazoezi ambayo maafisa wa Marekani wanasema yanapaswa kufanyika kabla ya mwisho wa mwezi.

Afisa mkuu wa Pentagon aliiambia CNN kwamba matamshi ya nyuklia ya Urusi na uamuzi wa kufanya mazoezi katikati ya vita na Ukraine ni kutowajibika.

Kwa mujibu wa Marekani, mazoezi hayo ya Urusi hufanyika kila mwaka na, huku Baraza la Usalama la Taifa la Marekani nalo limesema vikosi vyake vitaanza mazoezi hayo kivyake ambayo yatajumuisha kurusha makombora ya moja kwa moja na kupelekwa kwa vifaa vya kimkakati.

Kwa upande wake, NATO imebainisha kuwa itaanza Jumatatu hii mazoezi yake ya kila mwaka ya nyuklia, ambayo yatahudhuriwa na nchi 14, pamoja na Marekani.

#ChanzoBBC

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.