Star Tv

Maelfu ya waandamanaji wamejitokeza katika mitaa ya mji mkuu wa Tunisia kuandamana dhidi ya Rais wa nchi hiyo.

Maandamano kama hayo ya makundi ya kisiasa yanayopingana vikali yalifanyika mjini Tunis.

Makundi yote mawili yalimkashifu Rais Kais Saied kwa kuwa mbabe ambaye anabadilisha na kufifisha maendeleo ya kidemokrasia yaliyopatikana tangu ghasia za 2011.

Aidha pia waandamanaji hao walitaka uwajibikaji kutokana na mdodoro wa kiuchumi nchini humo ambao umeshuhudia uhaba mkubwa wa chakula na mafuta.

Wakosoaji wa Rais Saied wanamtuhumu kwa kufanya mapinduzi na kujaribu kurudisha Tunisia katika utawala wa kiimla mfumo wa serikali unaoendeshwa na mtu mmoja mwenye mamlaka kamili.

#ChanzoBBC

Latest News

Dkt. Jafo ofisi yake, imekamilisha taratibu zote za kupata Ithibati ya Kitabu ch...
24 Apr 2023 09:38 - Kisali Shombe

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewasilisha bungeni Hotuba ya Ma [ ... ]

TARI, Ukiruguru kuzindua Kifaa cha kupandia Mbegu cha Rafiki
23 Apr 2023 18:33 - Kisali Shombe

Sekta ya Kilimo ni mhimili wa uchumi wa Tanzania na imekuwa ikichangia Pato la mkulima mmoja mmoja, kaya na Taifa kwa uj [ ... ]

Wanawake kuwa sehemu ya Elimu dhidi ya Itikadi Kali na Ugaidi Afrika.
17 Apr 2023 10:28 - Kisali Shombe

Mnamo Oktoba 14, 2017, Mogadishu, Somalia ilikumbwa na shambulio baya la kigaidi lililoua watu 587 na kujeruhi zaidi ya  [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.