Star Tv

Kanali wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Iran (IRGC) ameuawa kwa kupigwa risasi mjini Tehran.

Watu wawili ambao hawakujulikana wenye silaha waliokuwa kwenye pikipiki wanaripotiwa kumpiga risasi Kanali Sayad Khodai mara tano kwenye gari nje ya nyumba yake.

Kufikia sasa, hakuna kundi lililodai kuhusika na shambulizi la Jumapili, na msako unaendelea kuwatafuta watu hao wenye silaha.

Kanali Khodai alikuwa mwanachama mkuu wa Kikosi cha wasomi cha Quds, tawi la IRGC ambao wanaendesha operesheni nje ya taifa hilo.

#ChanzoBBC

Latest News

Dkt. Jafo ofisi yake, imekamilisha taratibu zote za kupata Ithibati ya Kitabu ch...
24 Apr 2023 09:38 - Kisali Shombe

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewasilisha bungeni Hotuba ya Ma [ ... ]

TARI, Ukiruguru kuzindua Kifaa cha kupandia Mbegu cha Rafiki
23 Apr 2023 18:33 - Kisali Shombe

Sekta ya Kilimo ni mhimili wa uchumi wa Tanzania na imekuwa ikichangia Pato la mkulima mmoja mmoja, kaya na Taifa kwa uj [ ... ]

Wanawake kuwa sehemu ya Elimu dhidi ya Itikadi Kali na Ugaidi Afrika.
17 Apr 2023 10:28 - Kisali Shombe

Mnamo Oktoba 14, 2017, Mogadishu, Somalia ilikumbwa na shambulio baya la kigaidi lililoua watu 587 na kujeruhi zaidi ya  [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.