Star Tv

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis, ametoa wito wa kusitishwa kwa vita nchini Ukraine na kufungua njia ya amani kupitia "majadiliano ya kweli".

Akihutubia misa ya Jumapili jana Aprili 10, kwenye Uwanja wa kanisa la Mtakatifu Peter mjini Vatican, Papa Francis amesema kuna haja ya kuwepo usitishwaji mapigano utakaoleta amani badala ya kusambaza zaidi silaha.

Siku ya Jumatano, Papa Francis alilaani kulengwa kwa raia nchini Ukraine, akisema kugundulika kwa maiti za watu huko Bucha ni mauaji ya kinyama.

Ameelezea pia nia yake ya kutoa mchango katika kusitisha mapigano nchini Ukraine, akisema yupo tayari kufanya ziara mjini Kyiv.

#ChanzoDW

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.