Star Tv

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Ilorin nchini Nigeria amezuiliwa na polisi baada ya shutuma za kumpiga mhadhiri wa kike.

Polisi wanasema mwanafunzi huyo alikuwa ameenda kumuona msimamizi kuhusu kazi yake ya mwaka wa mwisho wa mradi ndipo walipofikia hatua ya kuoelewana kulipotokea.

Inadaiwa alimvamia mhadhiri huyo ambaye alipata jeraha kichwani na kuzimia.

Mhadhiri huyo amelazwa katika hospitali isiyojulikana huku mwanafunzi huyo akizuiliwa na polisi.

Msemaji wa chuo hicho Kunle Akogun alithibitisha kisa hicho katika taarifa iliyowasilishwa kwa vyombo vya habari siku ya Jumapili, Ambapo amebainisha pia Mhadhiri huyo anaendelea kupata nafuu.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.