Star Tv

Kampuni kubwa ya dawa nchini Marekani inatafuta idhini ya haraka ya kuweza kutibu virusi vya corona kwa watu wazima.

Merck imesema dawa ya molnupiravir, ambayo ni vidonge inawalenga wagonjwa ambao wako kwenye hatari ya maambukizi na ambao wamelazwa hospitalini .

Kampuni hiyo inatafuta idhini kutoka Mamlaka ya dawa na chakula nchini Marekani ili kuruhusu matumizi ya dawa hizo.

Merck inafanya kazi na Ridgeback Biotherapeutics na tayari imeshauza imeuza dozi 1.7m ya tiba kwa serikali ya Marekani.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.