Star Tv

Mwanamuziki maarufu Kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, Delcato Idengo, amekamatwa na polisi kwa baada ya kushutumiwa kuhamasisha ghasia dhidi ya vikosi vya usalama katika eneo la kaskazini mashabiki.

Mwanamuziki huyo alikamatwa Jumapili huko Kaskazini Mashariki katika mji wa Butembo.

Mashabiki wake walifanya maandamano wakitaka aachiwe huru.

Polisi wa Idengo wamesema watamshtaki kwa kosa la kuhamasisha vurugu dhidi ya polisi na jeshi, lakini bado hajapelekwa mahakamani.

Aidha, Miziki ya Mwanamuziki huyo mara nyingi huwa inakosoa serikali haswa kwa kushindwa kurejesha amani mashariki mwa Kongo.

#ChanzoBBCSwahili

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.