Star Tv

Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma ameshutumu mahakama kwa kutoamini ripoti ya kitabibu na madaktari wa jeshi na amekataa kufanyiwa uchunguzi na daktari aliyechaguliwa na mamlaka ya mashtaka.

Madaktari waliwasilisha ripoti ya siri juu ya afya ya Bwana Zuma kama anamudu kuhudhuria kesi yake.

Msemaji wa mfuko wa Bw Zuma Mzwanele Manyi aliiambia runinga ya ENCA rais huyo wa zamani amechoka afya yake kutiliwa shaka.

Madaktari wa jeshi wanawajibika kwa afya ya marais wote wa zamani.

Bwana Zuma alilazwa hospitalini siku chache baada ya kukamatwa na kufanyiwa upasuaji tarehe 14 mwezi Agosti.

Hivi sasa Zuma anatumikia kifungo cha miezi 15 kwa kosa la kudharau mahakama na alitakiwa kuanza kusikiliza kesi yake ya ufisadi.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.