Star Tv

Rais Samia Suluhu Hassani amewaapisha mawaziri na manaibu waziri aliowateua.

Rais Samia amewaapisha Mawaziri hao pamoja na Manaibu Waziri katika ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.

Akiongea katika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma, wakati wa kuwaapisha Mawaziri walioteuliwa Rais Samia amesema kuwa sio jambo la busara wanaisasa kuanzisha kampeni za mapema.

"Nafahamu 2025 iko karibu na kawaida yetu Watanzania ama kote ulimwenguni inapoingia kipindi cha pili cha rais aliyepo watu kidogo mnakuwa  na lile na hili kuelekea mbele..nataka kuwaambia acheni"-Alisema Rais Samia.

Aidha Rais Samia amewataka Mawaziri hao kufanya kazi kwa ushirikiano hasa katika masuala yanayohusu muungano kwani  serikali ni moja.

Mawaziri hawalioapishwa leo ni kutokana na mabadiliko ambayo yamefanywa na Rais Samia Machi 31. 

 

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.