Star Tv

Wabunge, Mawaziri pamoja na Naibu Mawaziri walioteuliwa na Rais Samia Suluhu hapo Hassan jana Machi 31, wamekula viapo vyao vya uaminifu leo April 01,2021 bungeni Dodoma.

Miongoni mwao ni Liberata Mulamula ambaye ameteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika mashariki, Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mbarouk Nassor.

Aidha, Dkt. Bashiru Ally ambaye alikuwa Katibu Mkuu Kiongozi pamoja nayeamekula kiabo kama mbunge aliyeteuliwa na Rais.

Hapo jana Rais wa Tanzania Samia suluhu Hassan alifanya mabadiliko madogo katika baraza jipya la mawaziri wakati wa hafla ya kuapishwa kwa Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango, Ambapo Balozi wa Tanzania nchini Japan Hussein Yahya Katanga aliteuliwa kushika nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.