Star Tv

Mahakama ya Kimataifa ya Kesi za Jinai (ICC) leo Machi 30,2021 inatarajiwa kuamua rufaa iliyowasilishwa mbele yake na kiongozi wa waasi wa Jamhuri ya Kidemorasia ya Congo, Bosco Ntaganda, kupinga hukumu ya uhalifu wa kivita dhidi yake.

Kamanda huyo wa zamani, aliyepewa jina la utani la 'The Terminator', alihukumiwa kifungo cha miaka 30 jela mwaka 2019 baada ya kupatikana na hatia ya makosa 18 ikiwemo mauaji, ubakaji na kutumia watoto kamawanajeshi.

Alikuwa mtu wa kwanza kushtakiwa na mahakama hiyo kwa tuhuma ya utumwa wa kingono.

Mashtaka hayo yalihusisha uhalifu uliotekelezwa katika eneo la Ituri lenye utajiri wa madini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo mwaka 2002 na 2003.

Aidha, Waendesha mashtaka wanaomba majaji kutoa adhabu kali zaidi.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.