Star Tv

Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi amewafuta kazi Wakuu wa majeshi, Ambao ni Jeshi la ardhini na angani.

Rais Nyusi amefikia hatua hiyo wakati nchi hiyo inapokabiliana na wanamgambo wa Islamic States Kaskazini na waasi wa wanamgambo wanaohusishwa na chama kikuu cha upinzani.

Katika taarifa iliyotolewa usiku Alhamisi rais hakutoa sababu ya kumfuta kazi Ezequiel Isac Muianga, Mkuu wa jeshi la ardhini, na Messias André Niposso, mkuu wa jeshi la anga.

Rais pia amemfuta kazi Kamanda na Naibu Kamanda wa chuo cha Mafunzo ya Kijeshi cha Marechal Samora Macheya.

Aidha Naibu Kamanda wa Taasisi ya mafunzo ya juu ya masuala ya ulinzi nchini humo pia amefutwa kazi.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.