Star Tv

Featured News

Dkt. Jafo ofisi yake, imekamilisha taratibu zote za kupata Ithibati ya Kitabu cha Muungano.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewasilisha bungeni Hotuba ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti kwa mwaka 2021/22 na Makadirio ya Mapat...
TARI, Ukiruguru kuzindua Kifaa cha kupandia Mbegu cha Rafiki
Sekta ya Kilimo ni mhimili wa uchumi wa Tanzania na imekuwa ikichangia Pato la mkulima mmoja mmoja, kaya na Taifa kwa ujumla pia ni tegemeo la mapato ya fedha za ndani na za nje ya nchi.. Tanzania ina...
Wanawake kuwa sehemu ya Elimu dhidi ya Itikadi Kali na Ugaidi Afrika.
Mnamo Oktoba 14, 2017, Mogadishu, Somalia ilikumbwa na shambulio baya la kigaidi lililoua watu 587 na kujeruhi zaidi ya watu 1,000. Hapo awali, tarehe 21 Septemba 2013, Kenya iliingiwa na hofu baada y...
Umoja wa Afrika wakutana kuijadili Sudan
Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika limeitisha kikao cha dharura hii leo kujadiliana hali ya kisiasa na usalama nchini Sudan.
Dkt. Jafo ofisi yake, imekamilisha taratibu zote za...
TARI, Ukiruguru kuzindua Kifaa cha kupandia Mbegu cha...
Wanawake kuwa sehemu ya Elimu dhidi ya Itikadi...
Umoja wa Afrika wakutana kuijadili Sudan

Recent News

Dkt. Jafo ofisi yake, imekamilisha taratibu zote za kupata Ithibati ya Kitabu cha Muungano.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe

Dkt

Selemani Jafo amewasilisha bungeni Hotuba ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti kwa mwaka 2021/22 na Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2022/23

Akiwasilisha hotuba hiyo leo Aprili 24, 2023, Dkt

Jafo amesema Ofisi ya Makamu wa Rais imekamilisha taratibu zote za kupata Ithibati ya Kitabu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Chimbuko, Misingi na Maendeleo kwa ajili ya kutumika kama kitabu cha ziada kwa shule za sekondari nchini

Amesema kuwa hatua hiyo itasaidia kuwajengea wanafunzi uelewa kuhusu namna

Read More

Africa News

Wanawake kuwa sehemu ya Elimu dhidi ya Itikadi Kali na Ugaidi Afrika.
Mnamo Oktoba 14, 2017, Mogadishu, Somalia ilikumbwa na shambulio baya la kigaidi lililoua watu 587 na kujeruhi zaidi ya watu 1,000. Hapo awali, tarehe 21 Septemba 2013, Kenya iliingiwa na hofu baada ya magaidi wanaoshirikiana na Wanamgambo wa Al...
Read More

Media Content

Radio Free Africa - Live

Kiss FM - Tanzania - Live

Star TV - Live Stream

Youtube Channel

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.