Binti aliyefahamika kwa jila la Halima Yunusa Ibrahim amempeleka babamkwe wake latika Mahakama ya Kiislamu Islamic (Sharia Court) katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria kwa madai ya kukataa aolewe na mpenzi wake Bashir Yusuf
Taarifa iliyochapishwa na gazeti la The Daily Trust nchini Nigeria limeripoti kwamba Halima aliiambia mahakama kuwa amependana na mpenzi wake Yusuf lakini baba yake Yusuf amekataa asimuoe
Baba yake Ibrahim, aliiambia mahakama kwamba alikuwa anafahamu kuhusu mapenzi baina ya binti yake na Yusuf, lakini alikuwa hajatimiza vigezo vya kuoa
Baba huyo alidai kuwa
Read MoreCopyright © 2022 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.