Star Tv

Featured News

Waziri Mkuu Akagua Visima Vya Dharura Dar Es Salaam
 WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua visima vya dharura vinavyosafishwa, kufufuliwa na kuunganishwa katika mfumo wa usambazaji maji kwa wananchi na kuagiza zoezi hilo pamoja na uchimbaji wa visima ka...
Waziri Wa Afya Aagiza Udhibiti Magonjwa Ya Mlipuko
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza vituo vyote vya kutolea huduma za afya vya binafsi na serikali kuweka kituo maalum cha kufanya ufuatiliaji wa magonjwa hasa ya mlipuko ili kuyapatia udhibiti wa uh...
Vifo vitokanavyo na Utoaji wa Mimba usio salama, Kudhibitiwa
Mpango wa idara ya afya wa kutoa elimu ya afya ya uzazi na matumizi ya uzazi wa mpango unatajwa kusaidia kupunguza mimba za utotoni na vifo vitokanavyo na utoaji wa mimba usio salama kwa makundi ya vi...
KIJANA MAJALIWA TAYARI APOKELEWA NA JESHI LA ZIMAMOTO.
Mkuu wa Jeshi ka Zimamoto na Uokoaji Kamishna Jenerali John Masunga amesema tayari wametekeleza agizo la Rais Samia Suluhu Hassan la kijana aliyesaidia katika shughuli za uokoaji kwenye ajali ya ndege...
Waziri Mkuu Akagua Visima Vya Dharura Dar Es...
Waziri Wa Afya Aagiza Udhibiti Magonjwa Ya Mlipuko...
Vifo vitokanavyo na Utoaji wa Mimba usio salama,...
KIJANA MAJALIWA TAYARI APOKELEWA NA JESHI LA ZIMAMOTO....

Recent News

Waziri Mkuu Akagua Visima Vya Dharura Dar Es Salaam

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua visima vya dharura vinavyosafishwa, kufufuliwa na kuunganishwa katika mfumo wa usambazaji maji kwa wananchi na kuagiza zoezi hilo pamoja na uchimbaji wa visima katika maeneo mbalimbali liwe endelevu

Visima hivyo ni miongozi mwa visima 197 vilivyochimbwa na Serikali mkoani Dar es Salaam ambapo kwa sasa 160 vimefufuliwa na kutoa lita milioni 29

4 kwa siku, Maji hayo yameunganishwa katika mfumo na hivyo kupunguza changamoto ya maji

Waziri Mkuu ameuagiza uongozi wa Bonde la Wami Ruvu pamoja na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar Es Salaam

Read More

World News

WALIOMTUSI GAVANA TIKTOK KUCHAPWA VIBOKO, KULIPA FAINI.
Hakimu mkazi katika jimbo la Kano nchini Nigeria ameagiza watu wawili waliokuwa wakicheza densi ya mzaha iliyodaiwa kuwa ''matusi'' kwenye Tiktok kuchapwa viboko 20 na kulipa faini ya naira 10,000 na kisha kusafisha maeneo yote ya mahakama kwa siku...
Read More

Media Content

Radio Free Africa - Live

Kiss FM - Tanzania - Live

Star TV - Live Stream

Youtube Channel

Copyright © 2023 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.