Wafugaji na wakulima wadogo katika kata ya Lugaba mkoani Shinyanga wamelalamikia tabia ya wafanyabishara wa maziwa mkoani humo kuwakosesha soko la uhakika kutokana na kuongeza maji katika kimiminika hicho na kupelekea idadi kubwa ya watumiaji kupungua kununua maziwa kwa madai ya kutokuwa na ubora.
Add a commentWakazi wa Kijiji cha Tatwe wilayani Rorya mkoani Mara wamekumbwa na maporomoko ya ardhi ambayo yamesababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha.
Add a commentRead more: Mvua zinazoendelea kunyesha Mara:Maporomoko yawakabili wakazi Kijiji cha Tatwe Rorya
Baadhi ya wazazi katika shule ya msingi Azimio A jijini Mwanza wamegoma kutoa mchango wa shilingi 500 kuwezesha watoto wao kula chakula shuleni licha ya kuwa baadhi ya watoto wanatajwa kutoroka mara kadhaa katika muda wa mapumziko kwenda kuosha vyombo kwenye magenge ili waweze kupatiwa ukoko na masalia ya vyakula .
Taarifa na Projestus Binamungu.
Add a commentRead more: Watoto kula chakula shuleni: Wazazi wagoma kutoa sh. 500 S/Msingi Azimio A Mwanza
Bingwa wa Dunia wa Mchezo wa Karate Rutashobya Rwezahula amesema Tanzania inaweza kutoa Mabingwa wengi katika Mchezo huo endapo Serikali itauingiza Mchezo huo katika Mtaala wa Elimu ili Ufundishwe Mashuleni.
Add a commentRead more: KARATE: Rutashobya aomba serikali iruhusu Karate kufundishwa mashuleni
Mamlaka ya usafiri wa anga Tanzania TCAA imewataka wanafunzi kusoma masomo ya sayansi ili kutatua changamoto ya upungufu wa marubani nchini.
Rai hiyo imetolewa wakati Tanzania ikiungana na nchi nyingine kuadhimisha siku ya kimataifa ya usafiri wa anga duniani.
Add a commentRead more: Siku ya usafiri wa anga: Upungufu wa marubani changamoto nchini Tanzania
Naibu waziri wa Nishati Subira Mgalu amemuagiza Meneja wa Shirika la Umeme nchini TANESCO mkoa wa Pwani Martin Maduu kuangalia namna ya kuwaunganishia umeme wananchi wanaokuwa wametoa nusu ya fedha zao ili waweze kukatwa wakati wa kununua luku na hivyo kuanza kunufaika mapema badala ya kusubiri hadi wanapomaliza kulipia.
Add a commentRead more: WANANCHI WANAOTOA NUSU YA FEDHA: Meneja TANESCO Pwani aagizwa kuwaunganishia umeme
Waziri Mkuu mstaafu Fredrick Sumaye leo Desemba 4, 2019 ametangaza rasmi kuondoka Chama Cha Upinzani cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA).
Add a commentRead more: Hamahama ya viongozi wa kisiasa:Sumaye aondoka rasmi Chadema leo Disemba 04, 2019.
Walemavu wa Ngozi wanaoishi wilayani Monduli mkoani Arusha wapo hatarini kupata saratani ya Ngozi kutokana na kukosa mafuta maalumu yanayowasaidia kupunguza mionzi ya jua kutokana na kushindwa kumudu gharama za mafuta hayo.
Add a commentRead more: UKOSEFU WA MAFUTA MAALUM: Walemavu wa ngozi hatarini kupata Saratani
Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama wilayani Kibaha mkoani Pwani Bi.Assumpter Mshama amemkamata Msimamizi wa kiwanda cha Sunda chemical Fiber Limited Bwana Yaung kwa kutokuwa na mikataba ya wafanyakazi na vitendea kazi pamoja na kutokumpatia matibabu mfanyakazi ambaye aliungua mguu akiwa kazini.
Taarifa na Monica Msomba.
Add a commentRead more: Kutotoa mikataba na vitendea kazi: Msimamizi kiwanda cha Sunda Chemical atiwa mbaroni
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.