Star Tv

Wafugaji na wakulima wadogo katika  kata ya Lugaba mkoani Shinyanga wamelalamikia tabia ya wafanyabishara wa maziwa mkoani humo kuwakosesha soko la uhakika  kutokana na kuongeza maji katika kimiminika hicho na kupelekea idadi kubwa ya watumiaji kupungua kununua maziwa kwa madai ya kutokuwa na ubora.

Add a comment

Wakazi wa Kijiji cha Tatwe wilayani Rorya mkoani Mara wamekumbwa na maporomoko  ya ardhi ambayo yamesababishwa na  mvua kubwa zinazoendelea kunyesha.

Add a comment

Baadhi ya wazazi katika shule ya msingi Azimio A jijini Mwanza wamegoma kutoa mchango wa shilingi 500 kuwezesha watoto wao kula chakula shuleni licha ya kuwa baadhi ya watoto wanatajwa kutoroka mara kadhaa katika muda wa mapumziko kwenda kuosha vyombo kwenye magenge ili waweze kupatiwa ukoko na masalia ya vyakula .

Taarifa na  Projestus Binamungu.

Add a comment

Bingwa wa Dunia wa Mchezo wa Karate Rutashobya Rwezahula  amesema Tanzania inaweza kutoa Mabingwa wengi katika Mchezo huo endapo Serikali itauingiza  Mchezo huo katika Mtaala wa Elimu ili Ufundishwe Mashuleni.

Add a comment

Mamlaka ya usafiri wa anga Tanzania TCAA imewataka wanafunzi kusoma masomo ya sayansi ili kutatua changamoto ya upungufu wa marubani nchini.

Rai hiyo imetolewa wakati Tanzania ikiungana na nchi nyingine kuadhimisha siku ya kimataifa ya usafiri wa anga duniani.

Add a comment

Naibu waziri wa Nishati Subira Mgalu amemuagiza Meneja wa Shirika la Umeme nchini TANESCO mkoa wa Pwani Martin Maduu kuangalia namna ya kuwaunganishia umeme wananchi wanaokuwa wametoa nusu ya fedha zao ili waweze kukatwa wakati wa kununua luku na hivyo kuanza kunufaika mapema badala ya kusubiri hadi wanapomaliza kulipia.

Add a comment

Waziri Mkuu mstaafu Fredrick Sumaye leo Desemba 4, 2019 ametangaza rasmi kuondoka Chama Cha Upinzani cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA).

Add a comment

Walemavu wa Ngozi wanaoishi wilayani Monduli mkoani Arusha wapo hatarini kupata saratani ya Ngozi kutokana na kukosa mafuta maalumu yanayowasaidia kupunguza mionzi ya jua kutokana na kushindwa kumudu gharama za mafuta hayo.

Add a comment

Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama wilayani Kibaha mkoani Pwani Bi.Assumpter Mshama amemkamata Msimamizi wa kiwanda cha Sunda chemical Fiber Limited Bwana Yaung kwa kutokuwa na mikataba ya wafanyakazi na vitendea kazi pamoja na kutokumpatia matibabu mfanyakazi ambaye aliungua mguu akiwa kazini.

 Taarifa na Monica Msomba.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.