Star Tv

Wakazi wa wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro wameeleza kupoteza matumaini ya uwezekano wa kukamilika kwa Barabara ya Lami kutoka Kidatu hadi Ifakara yenye urefu wa KM 66.9 ambayo iliwekewa jiwe la msingi mwanzoni mwa mwezi Mei 2018 na Rais Magufuli, ambapo mpaka sasa utekelezaji wake ni asilimia 10 pekee.

Habari na Omary Hussein.

Add a comment

Madereva bodaboda nchini wameonywa dhidi ya tuhuma za kujihusisha kimapenzi na wake za watu pamoja na wanafunzi zinazowakabili baadhi yao na kulitia doa kundi hilo.

Habari na Laudence Simkonda .

Add a comment

Jeshi la kuhifadhi  wanyapori TANAPA  hifadhi ya Taifa Katavi  Kanda ya Kusini kwa kushirikina  na jeshi la polisi mkoani  Rukwa limefanikiwa  kuwakamata watu wanne ambao  walitaka  kutorosha na kusafirisha meno ya tembo yenye  thamani ya zaidi ya  shilingi milioni mia moja thelathini na saba  za kitanzania katika  kijiji cha Saafu  wilayani Kalambao mkoani Rukwa.

Habari na Brown Lawi.

Add a comment

Wakazi wa Vijiji vya Shimbi na letu Wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro wameeleza kukumbana ya upatikanaji wa huduma ya maji inayowalazimu kutembea hadi nchi jirani ya Kenya baada ya mradi wa maji unaotekelezwa kwenye eneo hilo kuchukua zaidi ya miaka saba bila kukamilika.

Habari na Rodrick Mushi

Add a comment

Mahakama ya Hakimu mkazi mkoa wa Njombe imeendelea kusikiliza kesi inayomkabili Mwalimu Focus Mbilinyi anayekabiliwa na tuhuma za kumpiga mwanafunzi na kumsababishia.

Habari Zaidi na Dickson Kanyika

Add a comment

Chuo Kikuu cha Mzumbe kilichopo mkoani Morogoro kimeandaa mpango maalumu utakaowawezesha wahitimu wake katika chuo hicho kuweza kujiajiri na kuajiriwa pindi wanapomaliza masomo.

Habari na Peter Laurence..........

Add a comment

Tume ya Vyuo Vikuu nchini TCU imefuta hati za usajili wa vyuo vikuu vishiriki vitano, vyuo vikuu vitatu na chuo kikuu kishiriki kimoja baada ya kushindwa kufanya maboresho waliyopewa kwa zaidi ya miaka mitatu.

Taarifa zaidi na Angella Mathayo.

Add a comment

Hospital ya Rufaa ya KCMC  iliyopo Moshi Mkoani Kilimanjaro imeanza kuzalisha hewa ya oksijeni kama moja ya harakati za kukabiliana na upungufu hewa hiyo inayotumika kwa wagonjwa wenye mfumo hafifu wa upumuaji ikiwa pamoja na Watoto njiti.

Taarifa zaidi na Zephania Renatus…………

Add a comment

Serikali imemtahadharisha mkandarasi anayetekeleza mradi mkubwa wa ujenzi wa kituo cha Daladala Manispaa ya Morogoro kuwa huenda akabomoa na kuanza kujenga upya kwa gharama zake jengo la Utawala linalogharimu kiasi cha shilingi Milioni 400 itakapobainika kujengwa chini ya kiwango.

Habari na  Omary Hussein

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.