Siku moja baada ya sehemu ya soko maarufu la bidhaa na urembo maarufu kama makoroboi jijini Mwanza kuteketea kwa moto na kusababisha hasara kubwa,wafanyabiashara katika eneo hilo wamelipongeza jeshi la zimamoto kwa juhudi zilizosaidia kudhibiti moto huo na kuokoa sehemu kubwa ya soko hilo.
Taarifa na Leonard Mapuli
Add a commentRead more: BAADA YA SOKO LA MAKOROBOI KUUNGUA MOTO:Zimamoto yaweka nguvu mbinu za kuzuia majanga.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeidhinisha azimio la kusitisha mapigano kwa mara ya kwanza tangu kuzuka kwa mgogoro nchini Libya, na kuzitaka pande zote husika kufikia makubaliano ya kudumu.
Add a commentRead more: MAPIGANO YANAYOENDELEA LIBYA :Umoja wa Mataifa wataka mapigano hayo kusitishwa.
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli amemuagiza waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Suleiman Jaffo kumfukuza kazi mtumishi wa halmashauri ya wilaya ya kilosa Daniel Elimringi kwa kosa la kuchana kitabu kitakatifu cha dini ya kiislam,qur’ani.
Taarifa na Piensia Rugarabamu
Add a commentRead more: ANAYEDAIWA KUCHANA QURAN KILOSA: Rais Magufuli aagiza kufukuzwa kazi.
Polisi kitengo cha Usalama barabarani kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wamefanikiwa kupunguza matukio ya ajali za barabarani hadi kufikia asilimia thelathini na tano kwa kipindi cha mwaka 2018 hadi mwishoni mwa mwaka 2020.
Taarifa na Dickson Kanyika.
Add a commentRead more: KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI:Idadi ya Matukio yashuka kwa asilimia 35.
Mwenyekiti wa Chama cha Walimu mkoa wa mara CWT Livingston Gamba ameongoza mamia ya waombolezaji katika mazishi ya mwalimu wa shule ya msingi sirari Rose Gulinja aliyekutwa ndani ya gari lake akiwa amenyongwa hadi kufa na watu wasiojulikana.
Taarifa na Jumanne Ntono
Add a commentRead more: MWALIMU ALIYEUAWA TARIME: Mamia ya waombolezaji wajitokeza kumzika.
Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Emmanuel John mwenye umri wa miaka 24 mkazi wa kijiji cha Mori wilayani Rorya mkoani mara amepoteza maisha kwa kusombwa na maji katika mto Mori wakati akijaribu kuvuka kuelekea kijini kwake ambapo kijiji hicho kinatenganishwa na mto huo.
Taarifa na Jumanne Ntono
Add a commentRead more: MTO MORI MARA: Mtu mmoja afariki kwa kusombwa na maji wakati akivuka mto huo.
Mkuu wa Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro Rosemary Staki amesema uwepo wa Reli wilayani humo utasaidia kukuza uchumi kwa wananchi pamoja na kusafirisha madini ya Gypsum.
Taarifa na Angela Mathayo
Add a commentRead more: USAFIRI WA TRENI: Watalii kuongezeka mkoani Kilimanjaro
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Dkt.Anna Mghwira ameuagiza uongozi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro KIA kuchukua hatua za dharura ili kuimarisha hali ya usalama uwanjani hapo kwa kuongeza mitambo ya kubaini watu wenye vimelea vya
Taarifa na Zephania Renatus
Add a commentRead more: KUZUIA UGONJWA WA CORONA: Uongozi uwanja Ndege KIA waimarisha usalama.
Serikali inaendelea kuchunguza kwa kina uwepo wa tishio la uvamizi wa Nzige ambao wanadaiwa kuingia katika maeneo ya Mwanga na Holili mkoani Kilimanjaro mpakani mwa Tanzania na Kenya.
Taarifa na Zephania Renatus
Add a commentRead more: TISHIO LA UVAMIZI WA NZIGE: Serikali yaendelea kuchunguza kwa kina.
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.