Kampuni nne za kitanzania zimeshinda zabuni yenye thamani ya shilingi Bilioni 7.5 kwa ajili ya ujenzi wa mkongo wa taifa pamoja na maboresho ya anwani ya makazi.
Add a commentRead more: KAMPUNI ZA TANZANIA ZASHINDA ZABUNI ZA MABILIONI YA PESA
Chama cha ACT Wazalendo kimewafahamisha wanachama wake, pamoja na umma wa Watanzania kuwa Mwenyekiti wake Maalim Sei Sharif Hamad na mkewe Bi Awena, wamethibitika kupata maambukizi ya Covid 19.
Add a commentRead more: ACT YATHIBITISHA MAALIM SEIF KULAZWA KUTOKANA NA COVID-19.
Mkuu wa Wilaya ya kahama Anna Mringi Macha amepiga marufuku biashara ya nyama ya nguruwe na usafirishaji wa nguruwe wenyewe baada ya wanyama hao kubainika kwa homa ya nguruwe.
Add a commentRead more: MKUU WA WILAYA KAHAMA APIGA MARUFUKU BIASHARA YA NGURUWE.
Vinyonga 74 wameokolewa na kupelekwa kwenye bustani ya wanyama ya nchini Austria baada ya kubainika wakiwa kwenye sanduku katika uwanja wa ndege wa Vienna.
Add a commentRead more: AKAMATWA NCHINI AUSTRIA AKIWA AMEIBA VINYONGA 74 KUTOKA TANZANIA.
Watu wawili wakazi wa Manispaa ya Musoma mkoani Mara wamenusurika kuawa na wananchi wenye hasira kali kutoka kwa vijana wenye hasira baada ya kutuhumiwa kuiba shillingi Millioni moja na laki nane za mkazi wa wilayani Rorya.
<iframe width="560" height="315" src="https://www.youtube.com/embed/dkBf8vy951s" frameborder="0" allow="accelerometer; autoplay; clipboard-write; encrypted-media; gyroscope; picture-in-picture" allowfullscreen></iframe>
Add a commentAbiria wote kutoka Tanzania na Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo hawataruhusiwa kuingia nchini Uingereza na katika mataifa ya Irish kuanzia saa kumi alfajiri," amesema Grant Shapps, Waziri wa Usafirishaji nchini Uingereza.
Add a commentRead more: UINGEREZA YAPIGA MARUFUKU ABIRIA KUTOKA TANZANIA, DRC.
Rais wa John Pombe Magufuli amempongeza mwanasiasa wa upinzani Maalim Seif Shariff kwa kukubali kujiunga na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) visiwani Zanzibar.
Add a commentRead more: RAIS MAGUFULI AMPONGEZA MAALIM SEIF KWA MAAMUZI YAKE YA KICHUJAA.
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya, ameitaka Bodi ya mfuko wa Barabara (RfB) kutumia vifungu vya sheria vitakavyowabana watumiaji wa barabara wanaoegesha magari kwenye mabega ya barabara, wanaoiba alama za barabarani pamoja na wanaopitisha mifugo kwenye barabara.
Add a commentRead more: WANAOGESHA MAGARI BARABARANI HOVYO KUWAJIBISHWA BILA HURUMA.
Watumishi 23 wa Idara ya Famasia katika Taasisi ya Mifupa (Moi) wanachunguzwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kwa madai ya wizi wa dawa na vifaa tiba vyenye thamani ya Sh1.2 bilioni.
Add a commentRead more: WIZI WA DAWA, VIFAA TIBA HOSPITALI YA MOI YAFANYA WATUMISHI 23 KUCHUNGUZWA.
Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.