Star Tv

Serikali imetoa utaratibu maalumu kwa watu wanaokwenda kupiga picha katika Daraja la Nyerere, Kigamboni

Serikali imetoa utaratibu maalumu kwa watu wanaokwenda kupiga picha katika Daraja la Nyerere, Kigamboni ili kuhakikisha usalama wa watumiaji wa barabara, fedha zinazokusanywa, wapiga picha wenyewe, pamoja na kuondoa usumbufu unaoweza kujitokeza.

Wapigapicha watalazimika kuomba kibali kwenye Ofisi Mkurugenzi Mkuu.

Gharama za upigaji picha kwa matukio maalumu (harusi, kwaya, wasanii) ni Tsh 250000 kwa saa moja.

Wanaopiga picha moja moja (selfie) hawatolipa, lakini wametakiwa kuchukua tahadhari ya usalama wao.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.