Star Tv

Kuanzishwa kwa taasisi ya kifedha inayotoa mikopo kwa mwalimu kumetajwa kuboresha maisha ya walimu kutoka hali ngumu waliyokuwa nayo awali na sasa kuishi maisha yenye unafuu.

Inadaiwa kwa sasa kumtofautisha mwalimu na mtumishi mwingine ni kibarua pevu kinachohitaji uchunguzi wa kina, na hiyo ni kutokana na madai ya kuwa maisha ya walimu yapo sawa na watumishi wengine wa serikali, licha ya kuwa bado walimu wanakabiliwa na changamoto mbalimbali, ambapo usaidizi huo wa kimaisha unatajwa ku boreshwa na ujio wa benki ya walimu ambayo inasemekana kuwa chachu ya mabadiliko chanya ya maisha ya walimu.

Stanslaus Muhongole ni mwenyekiti wa chama cha walimu CWT Mkoa wa Iringa kwa upande wake anaona licha ya ujio wa benki ya walimu, lakini bado mwalimu anamahitaji yake muhimu.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.