Taliban imepiga marufuku matumizi ya fedha za kigeni nchini Afghanistan, hatua ambayo inaelezwa kwamba itaathiri zaidi uchumi wao ambao unaporomoka.
Add a commentWaziri wa Mambo ya nje wa Marekani Anthony Blinken amefanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Sudan Abdalla Hamdok.
Add a commentJose Maria Neves ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu kutoka 2001 hadi 2016 nchini Cape Verde ambaye ni kiongozi wa Upinzani amejitangaza kuwa ndiye mshindi wa uchaguzi uliofanyika hivi karibuni.
Add a commentViatu vya aliyekuwa mchezaji nyota wa timu ya kikapu nchini Marekani Michael Jordanvimeuzwa kwa bei ya $1.47m (£1.1m) iliovunja rekodi katika mnada.
Add a commentMamia ya watu wamejitoalea kuvua nguo zao na kubaki watupu ili wachorwe picha zinazoelezea namna Bahari ya kifo au 'Dead Sea' inavyoendelea kunyauuka.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.