Star Tv

Taliban imepiga marufuku matumizi ya fedha za kigeni nchini Afghanistan, hatua ambayo inaelezwa kwamba itaathiri zaidi uchumi wao ambao unaporomoka.

Add a comment

Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani Anthony Blinken amefanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Sudan Abdalla Hamdok.

Add a comment

Jose Maria Neves ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu kutoka 2001 hadi 2016 nchini Cape Verde ambaye ni kiongozi wa Upinzani amejitangaza kuwa ndiye mshindi wa uchaguzi uliofanyika hivi karibuni.

Add a comment

Viatu vya aliyekuwa mchezaji nyota wa timu ya kikapu nchini Marekani Michael Jordanvimeuzwa kwa bei ya $1.47m (£1.1m) iliovunja rekodi katika mnada.

Add a comment

Mamia ya watu wamejitoalea kuvua nguo zao na kubaki watupu ili wachorwe picha zinazoelezea namna Bahari ya kifo au 'Dead Sea' inavyoendelea kunyauuka.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.