Star Tv

Umoja wa Mataifa unaonya kuwa Ethiopia iko katika hatari ya kutumbukia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe.

Add a comment

Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel Malala Yousafzai "amefunga pingu za maisha" na mpenzi wake wakati wa sherehe za Kiislamu huko Birmingham.

Add a comment

Wafungwa wawili waliohukumiwa kunyongwa nchini Japan wamechukua hatua za kisheria dhidi ya hukumu waliyopewa ya kunyongwa siku moja.

Add a comment

Watu wasiopungua 91 wamekufa nchini Sierra Leone baada ya lori la kubeba mafuta kulipuka katikati ya mji mkuu wa taifa hilo, Freetown.

Add a comment

Makundi tisa yanayoipinga serikali ya Ethiopia kikiwemo chama cha Tigray People’s Liberation Front yamekubali kuunda muungano dhidi ya utawala wa Waziri Mkuu Abiy Ahmed.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.