Umoja wa Mataifa unaonya kuwa Ethiopia iko katika hatari ya kutumbukia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Add a commentMshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel Malala Yousafzai "amefunga pingu za maisha" na mpenzi wake wakati wa sherehe za Kiislamu huko Birmingham.
Add a commentWafungwa wawili waliohukumiwa kunyongwa nchini Japan wamechukua hatua za kisheria dhidi ya hukumu waliyopewa ya kunyongwa siku moja.
Add a commentWatu wasiopungua 91 wamekufa nchini Sierra Leone baada ya lori la kubeba mafuta kulipuka katikati ya mji mkuu wa taifa hilo, Freetown.
Add a commentMakundi tisa yanayoipinga serikali ya Ethiopia kikiwemo chama cha Tigray People’s Liberation Front yamekubali kuunda muungano dhidi ya utawala wa Waziri Mkuu Abiy Ahmed.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.