Star Tv

Kiongozi wa kijeshi nchini Guinea Kanali Mamady Doumbouya anatarajiwa kuapishwa leo kama rais wa mpito.

Add a comment

Shirika la Afya Duniani limesema limesikitishwa na madai ya unyanyasaji wa ngono unaofanywa na wafanyakazi wake nchini DRC wakati wa mlipuko wa Ebola.

Add a comment

Wapiganaji wa Taliban wamepiga marufuku na kutoa maagizo kwa vinyozi katika mkoa wa Helmand nchini Afghanistan kutowanyoa au kuwapunguza ndevu wanaume, wakisema hatua hiyo inakiuka sheria ya Kiislamu.

Add a comment

Karibu theluthi mbili ya wapiga kura wa Uswizi wameunga mkono ndoa ya jinsia moja katika kura ya maoni.

Add a comment

Waziri wa ulinzi wa Ufaransa amesitisha mazungumzo na mwenzake wa Uingereza huku pakiwa na mzozo uliochochewa na makubaliano mapya ya usalama kati ya Uingereza, Marekani na Australia.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.