Mwanamke mmoja amejifungua watoto saba mjini Abbottabad huko Pakistan.
Add a commentKampuni kubwa ya dawa nchini Marekani inatafuta idhini ya haraka ya kuweza kutibu virusi vya corona kwa watu wazima.
Add a commentRais wa Nigeria Muhammadu Buhari ameamuru kuondolewa kwa marufuku dhidi ya mtandao wa kijamii wa Twitter, ikiwa kampuni hiyo ya kubwa ya teknolojia itafikia masharti Fulani yanayotakiwa.
Add a commentRais wa Ufilipino Rodrigo Duterte amesema anajiuzulu siasa na hatagombea katika uchauzi wa mwaka ujao.
Add a commentKorea Kaskazini imesema kuwa imefanyia majaribio kombora jipya la kupambana na ndege siku ya Alhamisi, hili likiwa la nne kujaribiwa chini ya mwezi mmoja.
Add a commentSiku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]
Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]
Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]
Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.