Star Tv

Mwanamke mmoja amejifungua watoto saba mjini Abbottabad huko Pakistan.

Add a comment

Kampuni kubwa ya dawa nchini Marekani inatafuta idhini ya haraka ya kuweza kutibu virusi vya corona kwa watu wazima.

Add a comment

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ameamuru kuondolewa kwa marufuku dhidi ya mtandao wa kijamii wa Twitter, ikiwa kampuni hiyo ya kubwa ya teknolojia itafikia masharti Fulani yanayotakiwa.

Add a comment

Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte amesema anajiuzulu siasa na hatagombea katika uchauzi wa mwaka ujao.

Add a comment

Korea Kaskazini imesema kuwa imefanyia majaribio kombora jipya la kupambana na ndege siku ya Alhamisi, hili likiwa la nne kujaribiwa chini ya mwezi mmoja.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.