Star Tv

Mwana anga kutoka shirika la anga la Marekani NASA Christina Koch mwenye umri wa miaka 41, amerejea salama duniani baada ya kufanikisha kuingia katika rekodi ya kuwa mwana anga wa kwanza wa kike kudumu kwa takribani miezi 11 katika eneo la anga ya kimataifa.

Christina  alitua katika eneo la Kazakhstan baada ya kudumu angani kwa siku 328, akiwa pamoja na Luca Parmito wa shirika la anga la Ulaya na Alexander Skvortsov wa shirika lingine kama hilo la Urusi.

Picha kutoka katika eneo la tukio zilimuonesha Christina akiwa mwenye tabasamu wakati ameketi kwa utulivu akiwa chomboni, ambaye alianza safari yake mwezi machi 14, 2019.

                                                                            Mwisho.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.