Star Tv
Mwanamke mmoja wa China aliandamana na begi lake kupitia mashine ya ukaguzi ya X -Ray. Wafanyikazi katika kituo cha reli cha Kusini mwa China walishangazwa kuona mwanamke huyo akitoka ndani ya mashine hiyo pamoja na begi lake. Video moja ya mtandaoni ilionyesha kisa hicho cha kushanganza kilifanyika siku ya Jumapili baada ya kuupanda ukanda wa kusukuma mizigo. Awali mwanamke huyo alitazama begi lake likiwekwa katika mshipi huo na kuondoka.Picha za mionzi ya X-Ray zilimuonyesha mwanamke huyo akiwa amepiga magoti nyuma ya begi lake huku akiwa amevaa viatu virefu. Haijabainika ni kwa nini mwanamke huyo hakutaka kuwa mbali na begi lake ,lakini raia wengi nchini China hubeba kiwango kikubwa cha fedha wakati wanapoelekea nyumbani kusherehekea mwaka mpya.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.