Star Tv

Baada ya kupigwa marufuku kuomba na kulala ovyo ovyo kwenye veranda za maduka katika mji wa Middlesbrough, Bradley Grimes alimuomba jaji wa mahakama ammpeleke gerezani kuliko kumuacha bila makazi .

Itakuwa na athari gani? " Kile walichokifanya ni kunifanya nisipende kuishi katika jamii kujaribu kunizuwia nisiwe omba omba.

Lakini lazima niombe ili kuweza kuishi," Bradley Grimes alisema.

Alikosa makazi ya kuishi baada ya kuondoka kwenye mfumo wa misaada ya jamii akiwa na umri wa miaka 17.

Bradley Grimes mwenye tatizo la kigugumizi na ''akili ya kitoto'' hakuweza kupata kazi na mara kwa mara amekuwa omba omba- akiwaomba wasafiri chakula na pesa kando ya mtaa wenye shughuli nyingi.

Bradley anasema amri hiyo ilimzuwia "kukaa nje ya duka " na kulala kwenye bveranda za maduka ambako alikuwa akipata joto, na hilo lilimfanya kuendelea kukamatwa na maafisa wa usalama.

" mitambo ya kamera ya CCTV inachukua picha na kuituma moja kwa moja kwa polisi au walinzi wa mitaa. Polisi wakija, unakamatwa ," alieleza Bradley, ambaye sasa ana umri wa miaka 23.

"Siwezi hata kukaa kwenye kiti cha umma bila kutiwa nguvun. Inabidi nishinde nikizurura ."Kutokana na kuchoshwa na hali hii, aliamua kuomba msaada usio wa kawaida at his situation, he decided to seek .

Alipokuwa mahakamani, akishtakiwa kwa kukiuka hukumu ya kifungo cha nyumbani cha miezi minne- kosa mabalo alikiri kulifanya - alimuomba jaji kumuweka jela,.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.