Star Tv

Mahakama ya Kimataifa ya Kesi za Jinai (ICC) leo Machi 30,2021 inatarajiwa kuamua rufaa iliyowasilishwa mbele yake na kiongozi wa waasi wa Jamhuri ya Kidemorasia ya Congo, Bosco Ntaganda, kupinga hukumu ya uhalifu wa kivita dhidi yake.

Add a comment

Kiongozi wa chama cha ODM nchini Kenya Raila Odinga ameruhusiwa kutoka hospitalini na sasa anaendelea kupata afueni nyumbani kwake Karen mjini Nairobi.

Add a comment

Mfalme Goodwill Zwelithini wa jamii ya Wazulu nchini Afrika Kusini amefariki dunia hospitalini ambako alikuwa anapokea matibabu ya ugonjwa wa kisukari.

Add a comment

Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi amewafuta kazi Wakuu wa majeshi, Ambao ni Jeshi la ardhini na angani.

Add a comment

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Francis anayeendelea na ziara yake ya kihistoria nchini Iraq ametoa wito kwa viongozi na watu wa nchi hiyo kuepuka vurugu na mivutano ya kidini.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.