Star Tv

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhesimiwa Dk.Hussein Ali Mwinyi, awasili jijini Luanda Angola.

Add a comment

Mahakama ya katiba nchini Angola imetupilia mbali madai ya chama cha upinzani UNITA kuyafuta matokeo ya uchaguzi yaliyokipa ushindi chama tawala cha MPLA.

Add a comment

#BreakingNews
Mgombea Urais wa Chama Cha UDA William Ruto ametangazwa kushinda kiti cha Urais kwa kuibuka kidedea kwa asilimia 50.49% ya kura ambapo aliyekuwa Mpinzani wake Raila Odinga wa Chama ODM amepata 48.85% ya Kura.

Add a comment

Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud ameahidi kutokomeza kundi la Al Shabab katika taarifa yake ya kwanza kwa taifa tangu wanamgambo hao wa Kiislamu kufanya uvamizi mbaya wa saa 30 kwenye hoteli moja mjini Mogadishu.

Add a comment

Waandamanaji katika mji wa Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameshambulia na kuharibu kambi ya vikosi vya Umoja wa Mataifa kushinika ziondoke nchini humo.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.