Star Tv

Rais wa Rwanda Paul Kagame amefanya mazungumzo na Rais wa Uganda Yoweri Museveni katika ziara yake ya kwanza katika nchi jirani baada ya mvutano wa mwaka 2019 na kusababisha kufungwa kwa mpaka wa nchi hizo mbili kwa miaka mitatu.

Add a comment

Mwili wa Rais wa zamani wa Kenya wa tatu Emilio Mwai Kibaki umewasili katika majengo ya Bunge kwa ajili ya kuagwa. Hii leo mwili huo utaagwa na Rais Uhuru Kenyatta, Naibu Rais William Ruto, mawaziri, mabalozi, wakuu wa jeshi na viongozi wengine wakuu wa serikali.

Add a comment

Mahakama ya kijeshi nchini Burkina Faso imemuhukumu rais wa zamani Blaise Compaore kifungo cha maisha gerezani kwa kuhusika katika mauaji ya mtangulizi wake Thomas Sankara mwaka 1987.

Add a comment

Mapigano mapya yameibuka mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo katika jimbo la Kivu Kaskazini Mapema asubuhi ya leo Jumatano.

Add a comment

Mapigano yameripotiwa kati ya watu wenye silaha na vikosi vya usalama vya Ethiopia katika mji wa Moyale kusini mwa Ethiopia karibu na mpaka wa nchi hiyo na nchi jirani ya Kenya.

Add a comment

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.