Star Tv

Mpaka wa Tanzania na Zambia umefungwa leo kwa muda kutokana na amri aliyoitoa rais wa nchi hiyo Edgar Lungu.

Kufungwa kwa mpaka huo hakujaamriwa ni lini mwisho wake lakini imeelezwa kuwa unafungwa muda tu.

Aidha, uamuzi huo wa Zambia kufunga mpaka huo unachukuliwa kama ni hatua kwao za kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona.

Waziri wa Afya nchini humo Chitalu Chilufya alinukuliwa akisema kupanda kwa visa hivyo ni vinatoka kwa miongoni mwa wafanyabiashara wa ngono na madereva wa Malori kwemnye miji ya mipaka nchini humo.

ongezeko la visa vya ugonjwa huo kufikia 267 nchini humo, ambapo mpaka sasa kumeripotiwa vifo 7 na wagonjwa waliopona 11.

 

 

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.