Star Tv

Tume ya uchaguzi nchini Misri imetangaza leo kwamba kura ya maoni kuhusu mageuzi ya katiba ikiwemo uwezekano wa kumruhusu rais Abdel-Fatah al sisi kubakia madarakani mpaka mwaka 2030,itafanyika Aprili 20-22.

Tangazo la tume hiyo limekuja baada ya hapo jana bunge la Misri kuidhinisha mageuzi ya katiba ambayo yatamruhusu rais el-Sisi kuendelea kujiimarisha madarakani. Maafisa wa Misri wanajaribu kuzuia kuongezeka kwa malalamiko yanayotolewa katika mtandao yakipinga mageuzi hayo. Bunge lenye wajumbe 596 linalohodhiwa na wafuasi wa el-Sisi lilihitaji wingi wa thuluthi mbili tu ya kura kupitisha mageuzi 14 na kuingiza vipengee vingine vingi vipya.

CHANZO:Idhaa ya Kiswahili DW

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.