Star Tv

Israeli na Bahrain zimefikia makubaliano ya kufufua uhusiano wao Septemba 11,2020, mwezi mmoja baada ya makubaliano kati ya Falme za Kiarabu na nchi hiyo ya Kiyahudi.

Tangazo hilo pia lilitolewa, wakati huo huo, na rais wa Marekani Donald Trump, wakati mkataba huo unatarajiwa kutiwa saini rasmi katika Ikulu ya White House wiki ijayo.

Bahrain na Israeli sawa na nchi nyingine za Kiarabu katika ukanda huo zimeendelea kuwa na uhasama na Iran.

Tangazo la mkataba wa kufufua uhusiano kati ya Israeli na nchi ya Kifalme ya Bahrain lilitolewa wakati mmoja katika Ikulu ya White House na rais wa Marekani Donald Trump na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu.

CHANZO:rfi Swashili.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.