Star Tv

Leo tarehe 29/01 katika Bunge la 11 kikao cha pili, hati zilizowasilishwa mezani ni pamoja na taarifa ya kamati ya kudumu ya Bunge ya hesabu za Serikali kuhusu shughuli za kamati kwa mwaka 2019 ambazo zitawasilishwa na Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za serikali. Vile vile uwasilishwaji wa taarifa ya kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za serikali za mitaa kuhusu usimamizi wa matumizi ya fedha za umma katika serikali za mitaa kwa mwaka 2019,ambazo zitawasilishwa na mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya hesabu za serikali za mitaa.

Latest News

Mgogoro wa Maji unatishia Amani Duniani, inasema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa...
21 Mar 2024 14:18 - Kisali Shombe

Siku ya Maji Duniani ambayo inafanyika tarehe 22 Machi ikiwa na kaulimbiu: 'Maji kwa Ustawi na Amani. Ambapo maji ni moj [ ... ]

Matarajio katika mkutano wa BRICS nchini Afrika Kusini, Jumanne tarehe 22/2023
21 Aug 2023 12:14 - Kisali Shombe

Mkutano huo ambao utafanyikia Johannesburg nchini Afrika Kusini siku ya Jumanne, tarehe 22 Agosti 2023, unatarajiwa kuhu [ ... ]

Rais Ramaphosa Kuwa Mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China
21 Aug 2023 11:11 - Kisali Shombe

Rais Cyril Ramaphosa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2023, atakuwa mwenyeji wa Mheshimiwa Rais Xi Jinping wa China katika Zi [ ... ]

Other Articles

Social Media

Copyright © 2024 . Star Tv - Tanzania. All Rights Reserved.