Mpambano wa Kimataifa baina ya Timu ya Vijana ya Tanzania Serengeti boys, dhidi ya Timu ya Vijana ya Nigeria utakaochezwa katika uwanja wa Taifa . Mkufunzi wa walimu wa mpira wa miguu Tanzania chini ya TFF John Simkoko amewaomba Watanzania kuupenda mchezo huo kwa kila namna, ambapo mchukuano huo unatarajiwa kuanza jumapili hii ya terehe 14 jijini Dar es Salaam baina ya Serengeti boys na Nigeria.